Zabron Singers - Imeniuma Sana Lyrics

Imeniuma Sana Lyrics

Hili limeniliza sana  
Hili limeniumiza sana  
Awamu hii nimeumia sana  
Mungu wangu nisaidie eeh  
Mbona umeniacha sana  
Katika hili nimeumia sana aaah  
Nakiri nakuhitaji sana  
Mungu wangu nisaidie eeeh  

Ungeniuliza nisingekubali mimi  
Mpendwa wangu nimeache aende eeh  
Rafiki yangu kipenzi aende  
Mungu hapana kwangu si sawa aah  
Ile mipango imezima  
Kwako ni sawa ila nabaki peke yangu  
Nitafanyaje nimeachwa peke yangu  
Mungu hapana, kwangu si sawa aah  
Ila naelewa Mungu uuh  
Kazi yako haina kosa aaah  
Nakushukuru kwa yote  
Mapenzi yako yatimizwe eeeh  

Hili limeniliza sana  
Hili limeniumiza sana  
Awamu hii nimeumia sana  
Mungu wangu nisaidie eeh  
Mbona umeniacha sana  
Katika hili nimeumia sana aaah  
Nakiri nakuhitaji sana  
Mungu wangu nisaidie eeeh  

Japo nawaza nafarijika bwana  
Kwamba kunayo siku tutakutana nae  
Ile asubuhi njema uloiweka pale  
Kwa watu wanao kuamini yesu  
Nitie nguvu baba nimechoka  
Moyo unauma nimechoka aaah  
Nisaidie baba nimechoka  
Peke yangu mimi siwezi  

Tufundishe Mungu wetu  
Kuhesabu siku zetu  
Japo dhoruba na shida  
Tusichoke kukutumikia  

Hili limeniliza sana  
Hili limeniumiza sana  
Awamu hii nimeumia sana  
Mungu wangu nisaidie eeh  
Mbona umeniacha sana  
Katika hili nimeumia sana aaah  
Nakiri nakuhitaji sana  
Mungu wangu nisaidie eeeh  

Mtu wa watu huyu  
Mwenye upendo huyu  
Mpatanishi huyu  
Kaenda vipi tena aah  
Mtu wa watu huyu  
Mwenye upendo huyu  
Mpatanishi huyu  
Kaenda vipi tena aah  



IMENIUMA SANA by Zabron Singers (Official Video)

Imeniuma Sana Song Meaning, Biblical Reference and Inspiration

"Imeniuma Sana" by Zabron Singers is a poignant and deeply emotional gospel song that navigates the challenging terrain of grief and loss. The Swahili title translates to "It has pained me greatly" or "This has hurt me so much," immediately setting a tone of profound sorrow. The lyrics articulate a raw expression of pain caused by a significant loss, questioning God's actions and expressing feelings of abandonment and helplessness. Phrases like "Hili limeniliza sana" (This has made me cry so much) and "Mbona umeniacha sana" (Why have you forsaken me so much) convey the depth of the suffering experienced by the speaker. The difficulty in accepting the departure of a "loved one" or "dear friend" is palpable, describing it as something they would not have agreed to if asked.

Despite the intense initial pain and questioning, the song evolves to reflect a journey towards acceptance and finding solace in faith. The speaker acknowledges God's will, stating, "Ila naelewa Mungu uuh / Kazi yako haina kosa aaah" (But I understand God, your work is without fault). This indicates a surrender to divine sovereignty even amidst incomprehensible pain. The lyrics transition from despair to hope, finding comfort in the Christian belief of a future reunion. The line "Kwamba kunayo siku tutakutana nae" (That there is a day we will meet them) refers to the hope of meeting again in the afterlife, specifically mentioning "Ile asubuhi njema uloiweka pale / Kwa watu wanao kuamini yesu" (That good morning you set there / For people who believe in Jesus), which alludes to the resurrection and eternal life with Christ.

The song also includes a plea for strength and guidance, asking God for help because the burden feels too heavy to bear alone ("Nitie nguvu baba nimechoka / Peke yangu mimi siwezi"). There is a collective prayer for wisdom and perseverance, echoing a sentiment found in scripture: "Tufundishe Mungu wetu / Kuhesabu siku zetu" (Teach us our God / To count our days), which mirrors Psalm 90:12, asking God to teach us to number our days that we may gain a heart of wisdom. This section reinforces the theme of finding perspective and purpose even in times of suffering.

The recurring chorus emphasizes the overwhelming nature of the pain and the persistent need for divine assistance. The final verses reflect on the character of the departed person, describing them as "Mtu wa watu huyu" (This person of the people), "Mwenye upendo huyu" (This loving person), and "Mpatanishi huyu" (This peacemaker), highlighting their positive impact and the void left by their absence. This paints a picture of someone dearly loved and missed. The song, released by Zabron Singers, known for their powerful vocal harmonies and spiritual themes, is a testament to faith's ability to grapple with deep sorrow, finding a path from lament to hope through reliance on God and the promise of eternal life. Its message resonates with anyone who has experienced the profound pain of loss and sought comfort and understanding in their faith.

Zabron Singers Songs

Related Songs


Login to listen