Hili limeniliza sana
Hili limeniumiza sana
Awamu hii nimeumia sana
Mungu wangu nisaidie eeh
Mbona umeniacha sana
Katika hili nimeumia sana aaah
Nakiri nakuhitaji sana
Mungu wangu nisaidie eeeh
Ungeniuliza nisingekubali mimi
Mpendwa wangu nimeache aende eeh
Rafiki yangu kipenzi aende
Mungu hapana kwangu si sawa aah
Ile mipango imezima
Kwako ni sawa ila nabaki peke yangu
Nitafanyaje nimeachwa peke yangu
Mungu hapana, kwangu si sawa aah
Ila naelewa Mungu uuh
Kazi yako haina kosa aaah
Nakushukuru kwa yote
Mapenzi yako yatimizwe eeeh
Hili limeniliza sana
Hili limeniumiza sana
Awamu hii nimeumia sana
Mungu wangu nisaidie eeh
Mbona umeniacha sana
Katika hili nimeumia sana aaah
Nakiri nakuhitaji sana
Mungu wangu nisaidie eeeh
Japo nawaza nafarijika bwana
Kwamba kunayo siku tutakutana nae
Ile asubuhi njema uloiweka pale
Kwa watu wanao kuamini yesu
Nitie nguvu baba nimechoka
Moyo unauma nimechoka aaah
Nisaidie baba nimechoka
Peke yangu mimi siwezi
Tufundishe Mungu wetu
Kuhesabu siku zetu
Japo dhoruba na shida
Tusichoke kukutumikia
Hili limeniliza sana
Hili limeniumiza sana
Awamu hii nimeumia sana
Mungu wangu nisaidie eeh
Mbona umeniacha sana
Katika hili nimeumia sana aaah
Nakiri nakuhitaji sana
Mungu wangu nisaidie eeeh
Mtu wa watu huyu
Mwenye upendo huyu
Mpatanishi huyu
Kaenda vipi tena aah
Mtu wa watu huyu
Mwenye upendo huyu
Mpatanishi huyu
Kaenda vipi tena aah
IMENIUMA SANA by Zabron Singers (Official Video)
Imeniuma Sana Song Meaning, Biblical Reference and Inspiration
"Imeniuma Sana" by Zabron Singers is a poignant and deeply emotional gospel song that navigates the challenging terrain of grief and loss. The Swahili title translates to "It has pained me greatly" or "This has hurt me so much," immediately setting a tone of profound sorrow. The lyrics articulate a raw expression of pain caused by a significant loss, questioning God's actions and expressing feelings of abandonment and helplessness. Phrases like "Hili limeniliza sana" (This has made me cry so much) and "Mbona umeniacha sana" (Why have you forsaken me so much) convey the depth of the suffering experienced by the speaker. The difficulty in accepting the departure of a "loved one" or "dear friend" is palpable, describing it as something they would not have agreed to if asked.
Despite the intense initial pain and questioning, the song evolves to reflect a journey towards acceptance and finding solace in faith. The speaker acknowledges God's will, stating, "Ila naelewa Mungu uuh / Kazi yako haina kosa aaah" (But I understand God, your work is without fault). This indicates a surrender to divine sovereignty even amidst incomprehensible pain. The lyrics transition from despair to hope, finding comfort in the Christian belief of a future reunion. The line "Kwamba kunayo siku tutakutana nae" (That there is a day we will meet them) refers to the hope of meeting again in the afterlife, specifically mentioning "Ile asubuhi njema uloiweka pale / Kwa watu wanao kuamini yesu" (That good morning you set there / For people who believe in Jesus), which alludes to the resurrection and eternal life with Christ.
The song also includes a plea for strength and guidance, asking God for help because the burden feels too heavy to bear alone ("Nitie nguvu baba nimechoka / Peke yangu mimi siwezi"). There is a collective prayer for wisdom and perseverance, echoing a sentiment found in scripture: "Tufundishe Mungu wetu / Kuhesabu siku zetu" (Teach us our God / To count our days), which mirrors Psalm 90:12, asking God to teach us to number our days that we may gain a heart of wisdom. This section reinforces the theme of finding perspective and purpose even in times of suffering.
The recurring chorus emphasizes the overwhelming nature of the pain and the persistent need for divine assistance. The final verses reflect on the character of the departed person, describing them as "Mtu wa watu huyu" (This person of the people), "Mwenye upendo huyu" (This loving person), and "Mpatanishi huyu" (This peacemaker), highlighting their positive impact and the void left by their absence. This paints a picture of someone dearly loved and missed. The song, released by Zabron Singers, known for their powerful vocal harmonies and spiritual themes, is a testament to faith's ability to grapple with deep sorrow, finding a path from lament to hope through reliance on God and the promise of eternal life. Its message resonates with anyone who has experienced the profound pain of loss and sought comfort and understanding in their faith.